Habari Rfi-ki

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editor: Podcast
  • Duración: 3:58:14
  • Mas informaciones

Informações:

Sinopsis

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Episodios

  • Kauli ya rais wa Tanzania Samia Suluhu kuwazuia wanaharakati wa nchi zingine

    20/05/2025 Duración: 09min

    Leo tunaangazia ,hatua ya  Tanzania kuwazuia  Mawakili, wanaharakati wa haki za binadamu kutoka nchini Kenya, akiwemo Jaji Mkuu mstaafu Willy Mutunga  waliokwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili kiongozi mkuu wa upinzani Tundu Lissu. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake haitaruhusu wanaharakati wa kigeni kuingia nchini Tanzania na kuingilia masuala ya ndani ya nchi yake.

  • Nini kifanyike kumaliza vita vinavyoendelea Sudan,Ukraine na Gaza

    19/05/2025 Duración: 10min

    Viongozi wa dunia, wameendelea kutoa wito wa amani kwenye nchi  za Sudan Ukraine na Gaza hizo, ambako vita vimesababisha vifo vya maelfu ya raia na wengine kuwa wakimbizi. Hata hivyo licha ya wito huu, mapigano yameendelea kuripotiwa.

  • Uteuzi wa Papa Leo XIV kama kiongozi mpya wa kanisa katoliki duniani

    15/05/2025 Duración: 09min
  • Hali ya mafuriko katika mataifa ya Afrika Mashariki na pembeya Afrika

    13/05/2025 Duración: 09min
página 2 de 2