Gurudumu La Uchumi
Nchi zinazoendelea kulemewa na madeni: Je, Dunia itasikia kilio chao?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:52
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Hivi Leo tunaangazia suala nyeti linalogusa maisha ya mamilioni ya watu katika nchi zinazoendelea hususani za bara la Afrika, kama vile kwenye mzigo wa madeni unaozidi kuwa mzito. Tunajiuliza Nini hasa kiko hatarini? suluhisho gani linapendekezwa? Kujadili hili tunazungumza na Ali Mkimo, mchambuzi wa masuala ya uchumi na biashara akiwa Tanzania.