Habari Za Un

WHO yasema vifaa vya matibabu vimeingia Gaza lakini bado havitoshi

Informações:

Sinopsis

Hatimaye shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni, WHO limeweza kufikisha huko Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israeli, shehena ya kwanza ya vifaa vya matibabu ikiwa ni mara ya kwanza tangu tarehe pili mwezi Machi mwaka huu. Anold Kayanda na maelezo zaidi.