Habari Za Un
Siku ya mabunge duniani - Harakati za Usawa wa kijinsia Tanzania
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:29
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya mabunge ikijikita katika harakati za kuwezesha mabunge kufanikisha usawa wa kijinsia wakati huu ambapo Umoja wa Mataifa unaeleza ni kwa vipi Wanawake bado hawawakilishwi kwa kiwango cha kutosha katika mabunge ya kitaifa na ya mitaa duniani kote, jambo ambalo linapunguza haki zao za kisiasa na ushawishi wao juu ya sheria na bajeti.