Habari Za Un
UNICEF Tanzania: Nidhamu chanya huchagiza makuzi bora kwa mtoto
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:45
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limekuwa likihimiza umuhimu wa malezi na makuzi chanya kwa watoto kama njia mojawapo ya kulinda haki kuu nne za msingi za mtoto ambazo ni kuishi, kuendelezwa, kushirikishwa na kulindwa.