Habari Za Un
IOM yasema uwekezaji wa kibunifu katika uhamiaji ni muhimu
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:59
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katika Mkutano wa nne wa kimataifa wa Ufadhili wa Maendeleo (FFD4) unaoendelea jijini Seville, Hispania, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limetoa wito wa kuimarisha uwekezaji wa kibunifu katika uhamiaji wa watu ili kuchochea ukuaji wa uchumi na kusaidia kuziba pengo la kila mwaka la dola trilioni 4 za ufadhili wa maendeleo. Anold Kayanda anaeleza zaidi.