Habari Za Un
Upatikanaji wa nishati duniani umeboreka lakini uwezeshaji kifedha bado unahitajika kupunguza tofauti – Ripoti ya UN
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:16
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa inayofuatilia maendeleo kuelekea kutimiza Lengo la Umoja wa Mataifa la Maendeleo Endelevu namba 7 (SDG 7) linaloangazia nafasi muhimu ya nishati mbadala imetoa wito wa ufadhili zaidi kwani ingawa asilimia 92 ya watu duniani sasa wanapata umeme, lakini watu milioni 666 wengi wao wakiwa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara bado hawapati umeme. Anold Kayanda na maelezo zaidi.