Habari Za Un
Guterres: Tuepushe kauli za chuki kwenye ujumbe chanya
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:53
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Leo Juni 18 ni siku ya kimataifa ya kupambana na kauli za chuki ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametumia ujumbe wake kwa siku hii kutoa onyo kuhusu hatari zinazoongezeka za chuki mtandaoni, hasa zikichochewa na akili mnemba au (AI) na na majukwaa ya kidijitali. Flora Nducha na taarifa zaidi.