Siha Njema
Mpango wa lishe katika shule za umma nchini Kenya kupambana na utapiamlo
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:07
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Ukosefu wa lishe bora huathiri afya na elimu nchini Kenya Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la linalowahudumia Watoto (UNICEF) imeonesha kuwa takriban watoto milioni mbili nchini Kenya wanakabiliwa na matatizo yanayotokana na utapiamlo. Mipango ya lishe bora shuleni eneo la Nyanza na maghari mwa Kenya umeonekana kuwa suluhu huku wanafunzi wakipata vyakula vilivyo na virutubishi bora vinavyosaidia kuboresha kinga ya mwili,hivyo kuimarisha afya .