Gurudumu La Uchumi
Je, Afrika itafanikiwa kushinikiza mabadiliko katika mifumo ya kimataifa ya kifedha
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:01
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Msikilizaji mwishoni mwa wiki iliyopita, viongozi wa Afrika waliokutana mjini Addis Ababa, Ethiopia, walikubaliana kuongeza kasi ya kudai mabadiliko kwa mifmo ya kifedha ya kimataifa, ili kuziwesha kuwa na nafasi katika maamuzi. Afrika inalalamika kutokuwepo usawa, na hivyo kuyaweka mataifa ya Afrika katika hali ya kutegemea mikopo yenye masharti magumu.Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili, tunajadili ikiwa azma hii ya viongozi wa Afrika itafanikiwa.